This is the tomb of Yusha (a.s.), a Prophet who was very close to Musa (a.s.) and took his place as the leader of the Bani Israil after his death. He is known as Joshua in the Bible. Yusha (a.s.) was the great grandson of Prophet Yusuf (a.s.), his full name being Yusha bin Nun bin Afraeem bin Yusuf. Although he is not mentioned by name in the Holy Quran there are references made to him in two places. After the Bani Israil fled bondage in Egypt and wandered the desert for 40 years Musa (a.s.) died close to Bayt al-Maqdis, often referred to as ‘The Promised Land’. Yusha (a.s.) took over and led the Bani Israil over the River Jordan and into the surroundings of Jericho (also known locally as Ariha). It was a splendid city with large palaces. He laid siege over it for six months and then with a final push, raising the takbeer, he led his army in and conquered it. It is said that when they were about to take the ci...
Kijana ni taifa bora la kesho kama tutamlinda na kumuelimisha ,hawa ndio baadhi ya vijana toka KIZAZI KIPYA CHA QUR-AN NA AKHLAAQUL- ISLAAMIYYA Mara tu baada ya kutoka katika semina fupi ya kimalezi pamoja na kuwa fahamisha nafasi yao katika jamii kwa mujibu wa uislaam ,ndugu waislaam kuna haja kubwa ya kilinda na kukitunza kizazi chetu kwa maana vijana ndio nguvu kazi ya jamii pia ushirikiano wenu unahitajika ili kuweza kuupeleka uislaamu mbele na kuwa elimisha jamii mbali mbali ,kama mtume alivyotuhusia kwamba tuwe kama mwili moja na pia ya mwenzio yawe kama yako yanayo msibu
Comments
Post a Comment